Sibuka FM

Muungano

27 April 2024, 10:32 am

Wadau: Miaka 60 ya muungano, Maswa haikuwa hivi

Kongamano la Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuwa Tanzania limefanyika Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa na Kuhudhuriwa na Wadau Mbalimbali Nicholaus Machunda Wadau  wa Maendeleo  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  Wamesema  kuwa  Miaka  60 …