Sibuka FM

ELIMU

24 April 2024, 10:46 am

Maswa wanogesha muungano kwa kutoa madawati

Wakuu wa Idara Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wamekabidhi Seti za Madawati Miatatu kwa ajili ya Shule za Msingi na Sekondari ili kupunguza Uhaba unaozikabiri shule hizo baada ya kujibana kwenye Bajeti za Matumizi ya Ofisi zao Na Nicholaus Machunda…

18 May 2021, 10:30 am

Waziri Mashimba Ndaki akabidhi viti na Meza Shule za Sekondari kwenye…

Waziri  wa  Mifugo  na  Uvuvi na  Mbunge  wa  Jimbo  la   Maswa  Magharibi  mkoani  Simiyu  Mh, Mashimba  Ndaki  amekabidhi  Viti  na  Meza  kwa  ajili  ya  wanafunzi  vyenye  thamani  ya  shilingi  Milioni  Kumi  na  nane  ili  kuondoa  Changamoto  ya  Wanafunzi  kukaa  chini.…