Sibuka FM
Baraza
18 February 2024, 3:43 pm
Baraza la madiwani laridhia kuvunjwa mamlaka ya mji mdogo Maswa
Na Nicholaus Machunda Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa Kauli moja limeridhia kuvunjwa kwa Mamlaka ya Mji mdogo Maswa kwakushindwa kukidhi vigezo na Kuazimia kuanzisha Mchakato wa Kupata Halmashauri mbili.https://maswadc.go.tz/ Azimio hilo lilitolewa na Mkrugenzi Mtendaji …