Sibuka FM

Baraza

18 February 2024, 3:43 pm

Baraza la madiwani laridhia kuvunjwa mamlaka ya mji mdogo Maswa

Na Nicholaus Machunda Baraza  la  Madiwani  la  Halmashauri  ya   Wilaya ya  Maswa  kwa Kauli  moja  limeridhia  kuvunjwa  kwa  Mamlaka  ya  Mji  mdogo  Maswa  kwakushindwa  kukidhi  vigezo  na  Kuazimia  kuanzisha  Mchakato  wa  Kupata  Halmashauri  mbili.https://maswadc.go.tz/ Azimio  hilo  lilitolewa    na  Mkrugenzi  Mtendaji …