Sengerema FM
ukatili
19 February 2024, 8:13 pm
Mwanamke auawa kwa kukatwa mapanga na wasio julikana Sengerema
Matukio ya watu kuawa kwa kukatwa mapanga yanazidi kukithiri wilayani Sengerema ambapo mpaka sasa tangu mwaka huu kuanza matukio matatu ya watu kuuawa kwa mapanga. Na.Emmanuel Twimanye. Mwanamke mwenye umri wa miaka 40 Katika Kitongoji cha Nyakatome kata ya Kasungamile…