Sengerema FM
nida
22 February 2024, 4:42 pm
Wananchi Sengerema wajitokeza kuchukua vitambulisho vya NIDA
Wananachi wa Kata ya Nyampulukano Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza Mwanza wamejitokeza kwa wingi kupata vitambulisho ya Taifa (NIDA). Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA Wilaya ya Sengerema imeanza zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya NIDA kwa wananchi,huku likiwataka kujitokeza kwa…