Sengerema FM
Muungano
24 April 2024, 8:00 pm
DC Sengerema aongoza wananchi kupanda miti miaka 60 ya muungano
Katika Zoezi hili la Kumbukizi ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar jumla ya miche 800 imepandwa katika eneo la Hospitali ya Wilaya ya Sengerema sambamba na kufanya usafi katika Eneo hilo. Na:Kelvin Philipo Wananchi Wilayani Sengerema Mkoani…