Sengerema FM
msaada
3 March 2024, 7:29 pm
Jukwaa la Mwanamke Sengerema lawashika mkono watoto wanaoshi mazingira hatarishi
Kila mwaka ifikapo tar 08 Machi dunia huadhimisha siku ya mwanamke duniani ambapo hutanguliwa na matukio mbalimbali ambayo hufanywa na wanawake, Jukwaa la mwanamke Sengerema limeanza na kutoa msaada kwa wanafunzi wanaoishi mazingira hatarishi wilayani hapo. Na;Emmanuel Twimanye Zaidi ya…