Sengerema FM
misitu
21 March 2024, 5:14 pm
TFS Sengerema yapanda miti kukabiliana na uharibifu wa mazingira
Kutokana na kuongezeka kwa changamoto ya mabadiliko ya tabianchi duniani jamii imezidi kuhimizwa kupanda na kutunza misitu ili kusaidia kupunguza hewa ya ukaa inayotajwa kutesa dunia ya sasa. Na: Elisha Magege Jamii imetakiwa kupanda miti kwenye maeneo ya wazi ili…