Sengerema FM
Migogoro ya ardhi
18 February 2024, 7:53 pm
CCM Sengerema yatatua mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 23
Migogoro ya Ardhi wilayani Sengerema imekuwa Changamoto jambo lililoipelekea kamati ya Sekretarieti ya Chama cha Mapinduzi Sengerema kuanza kutembelea wananchi na kutatua ambapo imeanza na mgogo wa wananchi na Shule ya Msingi Kilabela uliodumu kwa zaidi ya miaka 23. Na…