Sengerema FM
manusula
8 February 2024, 7:23 pm
Wanusurika kifo baada ya kula samaki wanaodaiwa kuwa na sumu Sengerema
Matukio ya watu kula samaki wanaodaiwa kuwa na sumu hutokea kwa baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo katika kijiji cha Igaka ndio mara ya kwanza kutokea. Na:Said Mahera Watu saba wa familia moja wamenusulika kifo baada ya kula mbonga aina…