Sengerema FM

majeruhi

2 April 2024, 3:13 pm

Akatwa mapanga usiku akienda kwenye mkesha wa pasaka

Mtu asiyejulikana amemjeruhi kwa mapanga mwanamke anayejulikana kwa majina ya Mariam Sebagi  mkazi wa  mtaa wa Misheni usiku akiwa na wenzake wakielekea kwenye mkesha wa Pasaka mjini Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Mariam Sebagi mkazi wa…