Sengerema FM
majeruhi
2 April 2024, 3:13 pm
Akatwa mapanga usiku akienda kwenye mkesha wa pasaka
Mtu asiyejulikana amemjeruhi kwa mapanga mwanamke anayejulikana kwa majina ya Mariam Sebagi mkazi wa mtaa wa Misheni usiku akiwa na wenzake wakielekea kwenye mkesha wa Pasaka mjini Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Mariam Sebagi mkazi wa…