Sengerema FM
madawati
18 February 2024, 7:13 pm
Wanafunzi 300 wanakaa chini Shule ya Msingi Nyamalunda Sengerema
Licha ya juhudi za Serkali kujenga na kukarabati baadhi ya vyumba vya madarasa Shule za mssingi nchini baadhi ya shule zinachangamoto kubwa ya Madawati halii inayo pellekea wanafunzi wa shulle hizo kukaa chiini. Na:Emmanuel Twimanye Wanafunzi mia tatu katika shule…