Sengerema FM

maadili

4 April 2024, 4:26 pm

Marufuku kwenda na watoto kwenye kumbi za Starehe

Kutokana na kkuongezeka kwa mmomonyoko wa maadili kwa watoto nchini Serikali ya mtaa wa Migombani Imepiga marufuku wazazi kwenda na watoto kwenye kumbi za Starehe mjini Sengerema Na:Emmanuel Twimanye Serikali ya mtaa wa Migombani Kata ya Nyampulukano Wilayani Sengerema Mkoani…