Sengerema FM
kutupa kichanga
7 February 2024, 7:59 pm
Mwili wa kichanga waokotwa kwenye shamba la mahindi Sengerema
Tukio la kichanga kukutwa kimefariki kwenye Shamba la mahindi limewashangaza na kuibua hisia tofauti kwa wakazi wa kijiji cha Ngoma, ambapo mpaka sasa hawajaweza kutambua mama wa kichanga hicho. Na; Emmanuel Twimanye Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi 8…