Sengerema FM
ajari ziwani
9 February 2024, 8:02 pm
Kijana ajitosa kwenye maji kutoka kwenye kivuko Ziwa Victoria
Matukio ya Watu kujitosa kwenye maji yameanza kujitokeza ambapo mwanzoni mwa mwaka huu kijana mmoja alijitosa baharini kutoka katika boti ya Zanzibar III na mwili wake ukapatikana baada ya siku 3. Na.Said Mahera Kijana mmoja aliyejulikana kwa majina ya Mashauri…