Sengerema FM
afya ya uzazi
14 March 2024, 3:51 pm
Mitishamba chanzo cha vifo vitokanavyo na uzazi Sengerema
Vifo vitokanavyo na uzazi wilayani Sengerema vimekuwa vikitajwa kuongezeka kutokana na mwitikio mdogo wa akinamama wajawazito kuhudhuria kliniki kwa wakati na matumizi ya dawa za kienyeji. Na:Elisha Magege Matumizi ya dawa za kienyeji yatajwa kuwa chanzo cha vifo vya akinamama…