Sengerema FM
adhabu
25 March 2024, 6:52 pm
Wanafunzi wachapwa viboko 75 kwa tuhuma za kufanya mapenzi shuleni
Kuvunjwa mikono, kuachwa na makovu mwilini pamoja na vifo ni matukio mbalimbali yaliyotendwa na yanayoendelea kutendwa dhidi ya wanafunzi huku sababu kubwa ikihusisha adhabu ya viboko jambo la kusikitisha zaidi ni kuwa, utolewaji wa adhabu hizo haufuati taratibu, kanuni pamoja…