Uncategorized
21 May 2021, 4:47 pm
Mwauwasa yakabidhi mradi mkubwa wa maji mjini Sengerema.
Mamlaka ya maji mjini mwanza (MWAUWASA) wamekabidhi mradi wa maji kwa mamlaka ya maji mjini Sengerema uliojengwa kwa kiasi cha zaidi billioni moja hadi kukamilika na unatarajia kunufaisha watu elfu kumi uliopo katika kata ya Nyampande Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.…
10 May 2021, 4:20 pm
Naibu waziri Tamisemi atoa maagizo mazito kwa viongozi Sengerema.
Naibu waziri wa Tamisemi Mh, David Erenest Silinde ameiagiza halmashauri ya Sengerema kulipa fidia kwa wananchi walioachia viwanja vyao kwa ajiri ya kupisha ujenzi wa stendi mpya ya magari eneo la bukala kata ya ibisabageni wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ndani…
7 May 2021, 7:02 pm
Mamba apotea katika mazingira ya kutatanisha,Madiwani watoa maagizo.
Baraza la madiwani Halmshauri ya Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza limeitaka Serikali kumsaka mamba aliye uawa na wananchi kisha kupotea katika mazigira ya kutatanisha. Mjadala huo ambao umedumu kwa takiribani dakika 10 katika ukumbi wa mikutano uliopo katika jengo la…
26 April 2021, 8:57 am
Waziri Aweso azinguana na watumishi 8 wa maji Mwanza
Waziri wa maji Jumaa aweso ameangiza kuwekwa ndani watumishi saba wa maji mkoa wa Mwanza kufatia kuwepo na utekelezaji mbovu wa miradi ya maji wilayani Sengerema. Waziri aweso amefikia uamzi huo baada ya kukuta miradi mingi ya maji haijakairika wilayani…
21 April 2021, 6:28 pm
Rais Mama Samia kuhutubia wabunge rasimi, Ndugai atoa neno.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai ameagiza mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge, kurudi bungeni mara moja ili kuhudhuria hotuba ya Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan hapo kesho. Spika ametoa maagizo hayo mapema…
21 April 2021, 10:29 am
DED Mwingine kupisha uchunguzi huko Buhigwe,Kigoma.
Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, Anosta Nyamoga kupisha uchunguzi. Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Aprili 21, 2021 na kitengo cha mawasiliano serikalini imeeleza kuwa Ummy amechukua hatua hiyo baada…
20 April 2021, 4:06 pm
Mbunge Tabasamu azungumuzia kutumbuliwa DED Sengerema
Taarifa iliyotolewa leo Aprili 20, 2021, Waziri Ummy Mwalimu amemusimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya ya Sengerema, Magesa Boniphace kupisha uchunguzi baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo kutoka…
15 April 2021, 6:51 pm
Zaidi ya million 50 zatolewa kwenye vikundi vya wakinamama Sengerema.
Jumla ya milioni hamsini na saba57,200,000/= zimetolewa kwa vikundi 40 vya wanawake wajasiliamali wilayani sengerema mkoani. Akizungumza na Redio Sengerema Mratibu wa mfuko wa wanawake Wilaya Bi.Noela Yamo amevitaja vikundi vilivyopewa mkopo ni pamoja na imani lelemama kutoka butonga,wanaufunuo kutoka…
8 April 2021, 3:28 pm
Serikali yaagiza kufukiwa kwa mashimo yanayotokana na uchimbaji madini
Serikali imesema mashimo makubwa yote yaliyotokana na uchimbaji wa madini katika Mikoa ya Mara, Geita na Shinyanga yanapaswa kufukiwa ili kurejeshwa katika hali yake ya awali. Hayo yamebainishwa na leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa…
8 April 2021, 2:00 pm
Zaidi ya bil.15 zatumika nje ya bajeti,CAG azianika tasisi zilizofanya hivyo.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ameisoma ripoti yake ya mwaka wa fedha 2020/21 mbele ya waandishi wa habari leo Aprili 8, 2021 jijini Dodoma na kubainisha baadhi ya taasisi zikiwemo wizara zilizofanya manunuzi nje…