Sengerema FM

Uncategorized

21 May 2021, 4:47 pm

Mwauwasa yakabidhi mradi mkubwa wa maji mjini Sengerema.

Mamlaka ya maji  mjini mwanza  (MWAUWASA) wamekabidhi mradi wa maji kwa mamlaka ya maji mjini Sengerema  uliojengwa kwa kiasi cha zaidi billioni moja hadi kukamilika na unatarajia kunufaisha  watu elfu kumi uliopo katika kata ya Nyampande Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.…

26 April 2021, 8:57 am

Waziri Aweso azinguana na watumishi 8 wa maji Mwanza

Waziri wa maji Jumaa aweso ameangiza kuwekwa ndani watumishi saba wa maji mkoa wa Mwanza kufatia kuwepo na utekelezaji mbovu wa miradi ya maji wilayani Sengerema. Waziri aweso amefikia uamzi huo baada ya kukuta miradi mingi ya maji haijakairika wilayani…

21 April 2021, 10:29 am

DED Mwingine kupisha uchunguzi huko Buhigwe,Kigoma.

Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, Anosta Nyamoga kupisha uchunguzi. Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Aprili 21, 2021 na kitengo cha mawasiliano serikalini imeeleza kuwa  Ummy amechukua hatua hiyo baada…

20 April 2021, 4:06 pm

Mbunge Tabasamu azungumuzia kutumbuliwa DED Sengerema

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 20, 2021, Waziri Ummy Mwalimu amemusimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya ya Sengerema,  Magesa Boniphace kupisha uchunguzi  baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo kutoka…