Ruangwa FM

CAF CCL, SPORTS

16 April 2021, 7:23 am

Acheni kutumia madawa ya kulevya – DC. Mgandilwa

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, MH. HASHIM MGANDILWA, amewataka vijana wanaojihusisha na shughuli za uchimbaji wa madini katika mgodi mdogo wa madini ya dhahabu Njawale uliopo katika kijiji cha Mibure wilayani humo, kuacha tabia ya kutumia madawa ya…

26 November 2020, 8:16 am

Namungo yaahidi furaha jumamosi

Klabu ya Namungo yenye maskani yake hapa wilayani Ruangwa mkoani Lindi imeahidi kupambana kufa ama kupona kwenye mchezo wake na timu ya Al Rabita ya Sudani siku ya jumamosi novemba 28 katika uwanja wa Chamazi jijini  Dar es salaam. Namungo…