Radio Jamii Kilosa
Watumishi
29 March 2024, 5:06 pm
Watumishi watakiwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za serikali
Ili kuleta kasi ya maendeleo kwa wananchi wote watumishi inatakiwa waendane sambamba na miongozo ya kiserikali ya kiutendaji ambayo ndio itakua chachu pekee ya kuleta maendele. Na Asha Rashid Madohola Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg Michael…