Radio Jamii Kilosa
Mto
6 April 2024, 10:04 pm
Ujenzi tuta la mto Mkundi latumia milioni 30 kuzuia mafuriko Dumila
Kutokana na mafuriko ya mara kwa mara yanayotokea wilayani Kilosa hususani katika kata ya Dumila na kupelekea kuathiri shughuli za kiuchumi serikali imedhamiria kumaliza changamoto hiyo kwa kutenga fedha zitakazotumika katika ujenzi wa tuta ambalo litakuwa suluhisho. Na Asha Madohola…