Radio Jamii Kilosa
Miundombinu ya barabara
9 April 2024, 3:07 pm
Ujenzi wa barabara za kiuchumi wawakuna wakulima Kilosa
Serikali imedhamiria kwa dhati kumaliza changamoto za miundombinu ya barabara kwa kutengeneza madaraja, mifereji na makaravati wilayani Kilosa kwa kuondoa adha ya usafiri na kuwainua wananchi kiuchumi kwa kuweza kusafirisha mazao yao kuyapeleka kwenye masoko makubwa ambayo yatawaongezea kipato mara…