Pangani FM
WATOTO
9 March 2021, 8:13 pm
Wazazi Wilayani Pangani washauriwa kuendeleza vipaji vya Watoto.
Wazazi na walezi wilayani Pangani Mkoani Tanga wameshauriwa kuwaendeleza vipaji mbalimbali vya watoto wao ili kuwawezesha kufikia ndoto zao. Hayo yameelezwa na Mwalimu mkuu msaidizi wa Shule ya Sekondari Funguni RAMADHANI KAKAI wakati akizungumza na PANGANI FM Mwalimu huyo amesema…