Pangani FM
UBAKAJI
10 January 2021, 2:06 pm
Mikononi mwa Polisi kwa tuhuma za kumbaka Binti wa Miaka 6.
Jeshi la Polisi wilayani Pangani mkoani Tanga linamshikilia kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Ramadhani Omari mwenye umri wa miaka 25 Mkazi wa Wilaya ya Pangani kwa tuhuma za kumbaka binti mdogo wa miaka sita. Akizungumza na Pangani FM ofisini…