Pangani FM

TEMBO

23 February 2022, 8:05 pm

Tembo ahisiwa kuua mtu Pangani

Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina Shaa Omari mwenye umri wa miaka 30 amekutwa akiwa  amefariki katika eneo la Kumba Mtoni lililopo wilayani Pangai Mkoani Tanga. Pangani FM imezungumza na kamanda wa Polisi wilaya ya Pangani bwana Cristopher Msofe ambaye amethibitisha…