Pangani FM

siasa

5 February 2021, 7:57 pm

Miaka 44 ya CCM yajivunia mambo haya Pangani.

Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga katika kuadhimisha miaka 44 ya chama hicho kimeeleza mafanikio yake katika kuisimamia serikali. Akizungumza na Pangani FM Mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya Wilaya BW RAJABU ABRAHAMAN amesema chama hicho kinajivunia…