Pangani FM

SAMIA SULUHU

29 June 2021, 11:42 am

MIA za Rais Samia Pangani-Barabara

Wakala wa huduma za barabara mjini na vijijini TARURA Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kufikisha Siku 100 Madarakani tangu aapishwe kuwa Rais wa awamu ya Sita JMT TARURA Pangani…