Pangani FM

Msiba

1 January 2021, 7:04 pm

Pangani FM yamtembelea Mjane wa Omari S Mahamba.

Uongozi wa Pangani FM umemtembelea mjane wa aliyekuwa mdau wake bwana Omari S. Mahamba ambaye amefariki mwishoni mwa mwaka 2020. Msafara huo wa umbali wa zaidi ya Kilomita 50 toka wilayani Pangani mpaka wilayani Handeni Mkoani Tanga umefanyika tarehe 31…