Pangani FM
MKONGE
19 January 2021, 4:20 pm
Ziara ya Waziri Mkuu Tanga: atagawa Mbegu kwa wakulima,Wadau wote wa Mkonge wa…
Wadau mbalimbali wa zao la Mkonge Mkoani Tanga wamealikwa kushiriki katika kikao maalum kitakachofanyika Mkoani humo katika Ukumbi wa Regal Naivera Mkoani uliopo Tanga Jiji. Akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake leo Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela…