Pangani FM
MAOMBI
5 March 2021, 10:49 pm
Wanawake Pangani waadhimisha siku ya Maombi.
Wanawake wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wilayani Pangani mkoani Tanga leo wameshiriki katika maadhimisho ya siku ya maombi ya Wanawake duniani yenye lengo la kuombea Amani na mambo mengine. Akizungumza na PANGANI FM mchungaji FELIX ELIASI MSUMARI wa kanisa la…