Pangani FM

JPM

6 April 2021, 7:33 pm

Pumzika kwa amani JPM tunaonana baadaye.

Leo Aprili 6 ndio tamati ya siku 21 za maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr. John Joseph Pombe Magufuli. sikiliza hapa chini ujumbe maalum wa Pangani FM katika kutamatisha maombolezo ya msiba…