Pangani FM
DIPLOMASIA
29 March 2022, 6:04 pm
DRC kujiunga rasmi na Jumuiya ya Afrika Mashariki
Hatimaye miezi mitatu baada ya Mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki kuridhia ombi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kujiunga na jumuiya hiyo, baada ya kujiridhisha na kuona zipo faida za moja kwa moja…