Pangani FM

BAHARI

19 February 2022, 3:50 pm

OCD Pangani atoa onyo kwa wamiliki wa majahazi.

Wamiliki na manahodha wa majahazi ya mizigo wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuzingatia sheria ya Usafirishaji kwa kuacha kubeba abiria katika vyombo vya mizigo. Hapo jana Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani Pangani Mkoani Tanga alifika katika studio za Pangani…