Pangani FM
AWESO
23 April 2021, 8:53 pm
Malipo ya fidia kwa Wananchi Barabara ya Tanga-Pangani.
Serikali imeidhinisha malipo ya fidia kwa Wananchi wanaopisha ujenzi wa Barabara ya Tanga-Pangani Saadan- Bagamoyo kwa kiwango cha lami. Katika mahojiano maalum Mbunge wa Jimbo la Pangani ambaye pia ni Waziri wa Maji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh…