Pangani FM

AJALI

22 February 2022, 7:13 pm

Majeruhi ajali ya Saadani wapokelewa Pangani.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga Dkt. HASSANI MSAFIRI amesema Majeruhi Wawili katika Ajali iliyotokea Jana maeneo ya SAADANI wamepewa Rufaa ya kwenda Hospitali ya Mkoa BOMBO na wengine bado wanaendelea kupatiwa Matibabu Hospitalini hapo. Akizungumza…

15 March 2021, 12:46 pm

Serikali yaagiza kuzibwa kwa shimo lililoua Pangani.

Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetoa maelekezo kwa uongozi wa kijiji cha Madanga Wilayani humo kuanza mchakato wa kziba shimo kubwa lililopo kijijini hapo linalofahamika kama ‘shimo la mreno’. Wenyeji wa kijiji hicho wamedai kuwa shimo hilo limekuwepo tangu kipindi…