AJALI
22 February 2022, 7:13 pm
Majeruhi ajali ya Saadani wapokelewa Pangani.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga Dkt. HASSANI MSAFIRI amesema Majeruhi Wawili katika Ajali iliyotokea Jana maeneo ya SAADANI wamepewa Rufaa ya kwenda Hospitali ya Mkoa BOMBO na wengine bado wanaendelea kupatiwa Matibabu Hospitalini hapo. Akizungumza…
15 March 2021, 12:46 pm
Serikali yaagiza kuzibwa kwa shimo lililoua Pangani.
Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetoa maelekezo kwa uongozi wa kijiji cha Madanga Wilayani humo kuanza mchakato wa kziba shimo kubwa lililopo kijijini hapo linalofahamika kama ‘shimo la mreno’. Wenyeji wa kijiji hicho wamedai kuwa shimo hilo limekuwepo tangu kipindi…
12 March 2021, 11:48 pm
Zoezi la kuokoa mwili wa aliyetumbukia ‘shimo la mreno’ limesimama.
Mtu mmoja anasadikiwa kufariki dunia baada ya kutumbukia katika shimo lijulikanalo kama Shimo la Mreno lililopo katika kijiji cha jaira kata ya madanga hapa wilayani pangani Mkoani Tanga. PANGANI FM imefika katika eneo hilo na kushuhudia jitihada mbalimbali za kuokoa…