Pambazuko FM Radio
Wizi
18 May 2021, 5:36 am
Uhalifu Wapungua 75%,Wananchi waondolewa Hofu
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Mangwale Kata ya viwanja sitini katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wameeleza wasiwasi wao juu ya vitendo vya kiuhalifu vinavyotokea kwenye mtaa huo. Wakizungumza na pambazukofm baadhi ya wakazi hao akiwemo Joyce …