Pambazuko FM Radio
Umeme
2 April 2024, 3:43 pm
Dkt. Biteko aipongeza Tanesco kurejesha umeme
“Hakuna mgao wala upungufu wa umeme kwa sasa hiki kilichotokea ni hitilafu kwenye mitambo ya kuzalisha umeme” Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko Na Elias Maganga Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amelipongeza shirika la…