Pambazuko FM Radio
Michango
18 May 2021, 5:50 am
Wananchi Wachangia Ujenzi wa Madarasa
Wananchi wa Mtaa wa Jongo,Kata ya viwanja sitini katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wamechanga mchango wa fedha kiasi cha shilingi milioni tatu na Elfu tisini kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya maadarasa katika shule ya sekondari…