Pambazuko FM Radio

Malinyi

25 June 2021, 5:51 am

Wananchi Watakiwa Kuchangia Maendeleo ya Shule

Na:Katalina Liombechi Wananchi wa Kata ya Igawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi wameombwa wawe na Utaratibu wa kuchangia michango ya Shule  bila kujali kuwa ana au hana Mtoto anayesoma katika shule husika. Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Kata…