Pambazuko FM Radio
Malinyi
25 June 2021, 6:06 am
Wazazi Chanzo Cha Ukatili Kwa Watoto,Malinyi na Ifakara
Na: Katalina Liombechi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mathayo Masele ameyasema hayo wakati akizungumza na Radio Pambazuko kwa Njia ya Simu ilipotaka kujua ukubwa wa changamoto ya vitendo hivyo kwa watoto katika Wilaya hiyo. Masele amekiri kuwepo kwa changamoto hizo…
25 June 2021, 5:51 am
Wananchi Watakiwa Kuchangia Maendeleo ya Shule
Na:Katalina Liombechi Wananchi wa Kata ya Igawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi wameombwa wawe na Utaratibu wa kuchangia michango ya Shule bila kujali kuwa ana au hana Mtoto anayesoma katika shule husika. Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Kata…