Pambazuko FM Radio
Kilimo
19 April 2024, 9:20 pm
Semina ya kuwawezesha wakulima kielimu ili kuongeza tija katika mazao
Picha ni wakulima na wadau wa kilimo halmashauri ya mji wa Ifakara walioshiriki semina mjini Ifakara. Picha na; Isidory Mtunda Wakulima wa halmaashauri ya mji wa Ifakara, wamepatiwa semina, ili waongeze tija katika kilimo, na kuacha kilimo cha mazooea ,…