Pambazuko FM Radio

elimu

25 June 2021, 6:14 am

Kambi Kusaidia Wanafunzi Wasichana Kutimiza Ndoto zao

Na; Katalina Liombechi Mkurugenzi msaidizi wa Elimu ya Msingi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Susana Nyarubamba amesema ili msichana aweze kuwa salama jamii na wazazi wanatakiwa kutengeneza utamaduni wa kuwa walinzi wa watoto wao kila wakati wawapo shuleni…

25 June 2021, 5:51 am

Wananchi Watakiwa Kuchangia Maendeleo ya Shule

Na:Katalina Liombechi Wananchi wa Kata ya Igawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi wameombwa wawe na Utaratibu wa kuchangia michango ya Shule  bila kujali kuwa ana au hana Mtoto anayesoma katika shule husika. Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Kata…