Orkonerei FM

Ufugaji

12 March 2022, 2:48 pm

Wajane na mradi wa ufugaji wa ndama.

HABARI. NA NYANGUSI OLE SANG’IDA.Kikundi Cha kinamama wajane Noondomonock Sara benk ambacho kipo kata ya Esilalei Kijiji Cha Esilalei leo wamegawana Ndama 16 Ambazo ni faida walioipata baada kikundi hicho kufanya Shughuli za ufugaji na unanepeshaji. Kikundi hicho Cha wajane…