Orkonerei FM
Mikopo
9 March 2022, 10:03 pm
Mkopo kwa waendesha Bodaboda Arusha
Na nyangusi Olesan’gida . Mkuu wa Wilaya ya Arusha Said Mtanda amezindua Ofisi ya waendesha pikipiki (Bodaboda) katika Kata ya Kaloleni. Akizindua Ofisi hizo Mkuu wa Wilaya amewataka vijana kuendelea kuheshimu alama za barabarani sambamba na kutotumia pikipiki zenye adha…