Orkonerei FM

Miundombinu

17 March 2022, 9:48 pm

CCM ARUSHA YATOA PONGEZI KWA RAIS SAMIA

Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Arusha na Wilaya ya kichama Meru imepongeza Mhe.Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru ,Wilayani…

15 March 2022, 7:59 pm

Wiki ya maji Simanjiro

HABARI. Na pascal sulle Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 15 Machi 2022 ameweka jiwe la msingi mradi wa maji wa Orkesumet unaogharimu shilingi bilioni 41.5 uliopo Simanjiro mkoani Manyara. Makamu…

10 March 2022, 7:14 pm

Bilioni 1.5 mradi wa maji Terrat Simanjiro

HABARI. na pascal sulle Kaimu meneja wa Ruwasa wilaya ya simanjiro Eng.  Johanes Martine  amesema serikali imetoa kiasi cha fedha bilioni 1.5 kwa ajili ya kuleta mradi wa maji  katika kata ya terat yenye vijiji vitatu na vijiji hivyo vyote…