bungeni
6 April 2022, 9:22 am
Serikali kutangaza ajira 32,000
Serikali imesema wiki ijayo itatangaza nafasi za ajira 32,000 katika sekta ambazo zina upungufu mkubwa wa watumishi. Ahadi hiyo imetolewa Bungeni leo Jumatano Aprili 6, 2022 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Jenista Mhagama ambapo…
4 April 2022, 4:47 pm
Vikao Vya Bunge Kurushwa Live
Katibu wa Bunge. Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc amesema vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vitaanza kurushwa moja kwa moja kutoka Bungeni katika vipindi vyote vya bunge. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, Nenelwa amesema baada ya…
16 April 2021, 8:04 am
Serikali yashauriwa kutoa fedha za kutosha kwa TARULA Mkoani Iringa
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. Ritta Kabati ameishauri serikali kuipatia fedha za kutosha wakala wa barabara Vijijini na Mijini TARULA ili ziweze kukarabati barabara za mkoa wa Iringa. Mh. Kabati ameyasema hayo…