kitaifa
28 March 2024, 9:40 pm
TAKUKURU, CAG waibua madudu kwenye halmashauri
Ripoti ya CAF imebaini halmashauri 10 zililipa kiasi cha Sh Bilioni 2.9 kwa kazi zilizotekelezwa bila kuwepo nyaraka zinazoonesha ukubwa wa kazi. Na mwandishi wetu WAKATI ripoti ya Takukuru ikibainisha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kughushi nyaraka za…
23 March 2022, 7:42 am
Muundo Wa Mitaala Waanza Kuandaliwa
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST) na Wizara ye Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA) kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Taasisi ya Elimu Zanzibar (TEZ) imekamilisha zoezi la kuchambua maoni ya wadau pamoja na kuandika ripoti ya…
15 March 2022, 8:00 am
Wananchi Wa Chiwana Na Umoja Waipongeza Serikali Kutimiza Ahadi Ya Maji
WANANCHI wa kijiji cha Chiwana na Umoja kata ya Chiwana wilaya ya Tunduru,wameishukuru Serikali kwa kutimiza ahadi ya kuwapatia huduma ya maji safi na salama na kumaliza tatizo la miaka mingi la wananchi hao kutumia maji ya visima vya asili…
15 March 2022, 7:51 am
Serikali yapokea vifaa tiba kutoka Ufaransa
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa vifaa tiba kutoka Serikali ya Ufaransa, kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19. Akipokea msaada huo kwa niaba ya Serikali, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Balozi Liberata Mulamula,…