Mufindi FM
Afya
21 March 2024, 18:33
Mbunge Chumi akabidhi ambulance Ifingo
Na Bestina Nyangaro/Mafinga Mbunge wa Jimbo la Mafinga mjini Mh. Cosato David Chumi amekabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) katika kituo cha afya Ifingo kata ya Kinyanambo. Hafla ya kukabidhi gari hilo imefanyika leo machi 21 2024, kwa lengo la…