

17 May 2025, 5:39 PM
Kampeni ya NBC Shambani inatarajia kuanza rasmi juni 1 na itahitimishwa Julai 31 2025, ambapo wanaojihusisha na biashara ya kilimo ambao ni wateja wa NBC, watakaokidhi vigezo watapatiwa zawadi Na Neema Nandonde Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), imezindua rasmi …
15 May 2025, 8:31 pm
Vikundi vya wajasiriamali wa halamashauri ya wilaya ya Uvinza waanza kunufaika na elimu iliyoanza kutolewa hii leo mei 15 juu ya mkopo wa asilimia kumi wa mama Samia. Na Linda Dismas Vikundi vya ujasiriamali katika wilaya ya Uvinza leo Mei…
14 May 2025, 9:40 pm
Wananchi wamepatiwa wasaa wa kushiriki kuhakiki na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapigakura nchini ili waweze kutumia haki ya msingi ya kikatiba ya kupiga kura kwa kumchagua kiongozi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Na…
May 14, 2025, 11:30 am
Ni chakula cha asili, wanadai wanakipenda kuliko nyama ya ng’ombe au mayai Na Mwandishi Wetu Baadhi ya Wakazi wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wametoa wito wa kuenzi vyakula vya asili kikiwamo kikanda maarufu kwa jina la kinaka. Wakizungumzia kuhusu…
6 May 2025, 12:24
Licha ya shuruba wanazokutana nazo wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyoathirika mafuriko Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, baadhi ya vijana wametumia mafuriko hayo kuwa fursa kwa kujipatia kipato kupitia kuwabeba watu wanaovuka. Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana katika eneo la…
5 May 2025, 12:28
Viongozi wa Serikali za mitaa na vijiji wametakiwa kusaidia kuwaelesha wananchi juu ya usalama katika maeneo yao Na Hagai Ruyagila-Kasulu Madiwani wa halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kutoa elimu ya usalama katika maeneo yao hii ni…
29 April 2025, 8:24 pm
Katika hatua ya kuimarisha maendeleo na huduma kwa jamii, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Mheshimiwa Mohammed Bayo amefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika eneo hilo. Ziara hiyo ililenga kutathmini maendeleo ya miradi inayotekelezwa na halmashauri…
21 April 2025, 11:32
Mabadiiko ya tabianchi yamepelekea mvua nyingi kunyesha katika maeneo mbalimbali ambapo mwaka 2023, zilisababisha nyumba zaidi ya mia moja sabini, kuvamiwa na maji huku zikiacha madhara na mwaka huu zimesababisha vifo vya watoto wawili Na Kadislaus Ezekiel Mvua Zinazoendela Kunyesha Mkoani…
16 April 2025, 5:31 pm
Na Mary Julius. Wafanyabiashara wa Soko la Mwanakwerekwe wameiomba Serikali kumsimamia muwekezaji wa Soko hilo kuimarisha ulinzi na Usalama wa vyombo vyao katika maeneo ya maegesho ili kuweza kufanya biashara bila ya kuwa wa wasiwasi wa usalama wa vyombo vyao.Wakizungumza…
9 April 2025, 13:20
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amewaomba wananchi kutozuia ujenzi wa mradi kwani serikali itahakikisha wanalipwa fidia zao Na Hagai Ruyagila Serikali katika halmashauri ya mji Kasulu Mkoani Kigoma imejipanga kumaliza mgogoro wa Ardhi katika kata ya Nyumbigwa…