Mpanda FM
CHANJO
20 November 2021, 11:35 am
Huduma Mkoba Kuimarisha Zoezi la Chanjo ya Uviko 19
Serikali mkoani katavi imekuja na mpango harakishi na shirikishi wa kutoa huduma mkoba ya uviko19 ambavyo itawasaidia wananchi kupata chanjo hiyo popote pale walipo. Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkao wa katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ambapo ameeleza kuwa wamekuja na…
19 November 2021, 12:01 pm
Katavi na Maadhimisho ya Magonjwa Yasiyoambukiza
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza wameeleza umuhimu wa mazoezi sambamba na kuwaasa wananchi wenzao kujitokeza kwenye mazoezi. Wameyasema hayo walipozungumza na mpanda redio fm katika uwanja wa Azimio ambapo yaefanyika maadhimisho ya…