AFYA
7 March 2024, 3:09 pm
MPANDA,Homa ya Ini Yaongezeka kwa Kasi
“Daktari wa Manispaa ya Mpanda Coronel Bruno amesema kuwa ongezeko la Ugonjwa huo inatokana na Wananchi kutokuzingatia kupima Afya kila mara ili kubaini.” Picha na Mtandao. Na Veronica Mabwile-katavi Baadhi ya Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba Serikali mkoani…
20 November 2021, 10:44 am
Mifumo Mibovu ya Maisha Chanzo cha Magonjwa Yasiyoambukiza
Wananchi mkoani katavi wameshauliwa kubadili mtindo wa maisha ili kuondokana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo ugonjwa wa moyo. Kauli hiyo imetolewa na daktari wa idara ya magonjwa yasiyoambukiza kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa wa katavi dokta Daniford Mbohilu…
19 November 2021, 10:14 am
12,000 Wapata Chanjo ya Sinopharm
KATAVI Zaidi ya wananchi elfu nne mkaoni katavi wamepata chanjo ya dozi ya kwanza ya sinopharm na kufanya idadi ya watu waliopata chanjo ya uviko19 kufikia elfu kumi na mbili mkoani hapa. Kauli hiyo imetolewa na mganga mkuu wa mkoa…